Mtoa mada naye ni mzembe, unakaaje miaka minne bila kufuatilia taarifa za watoto wako
Majina mengine kwa kweli ni magumu hasa kutokana na kuhamisha hamisha madarasa na walimu tofauti. Ni suala lazazi kufanya follow up kila wakati kufuatilia maendeleo ya watoto shuleni na sio kusubiri ripoti...
Sasa kukosea majina basi ukawaona ni semi litera.....
Hujui changamoto za elimu vizuri
Kila mtu anaandika jina kwa mkono lazima kuna kitu kitapungua au kuongezeka
Hongera sana, nimesoma mwanzo mwisho na bila shaka kuna funzo kubwa sana
Mimi sii msomaji wa makala ndefu ila yakwako nimesoma labda kwa sababu ya uandishi mzuri
Angekuwa ana mawazo kama yako hangeenda kwenye hafla.Kwa sababu huwa wanaalikwa.Yule ni mwakilishi ukiona ameenda ujue yale yaliyokuwa yanalalamikiwa yamefanyiwa maboresho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.