Natafuta laptop aina hp elite book 840 , corei 5, hdd 500gb, ram 4gb au kama kuna mtu mwenye hp kali itakayonishawishi aweke picha tufanye biashara location DSM
Kwanza pole ila kwenye masomo ya uhasibu math's haiwez kukushia GPA kwasababu ni somo ambalo lina units ndogo sanaa, kilichoshusha GPA ni kupata B plain za core subjects
Habar wanajf naomba kujua namna ya kujibu maswali ya law case kama hili niliotuma hapa, nijue vitu vya kuzingatia walat wa kujibu na hua yanajibiwa kwa utaratibu ganii, naamini nitapata majibu sahihi kwani hapa ndio sehem sahihi kwa ma-advocate[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.