Huyu Machali kwisha kazi,kitu amabacho hatambui ni kwamba Magufuli haliwaalika CCM wenzake akiwa kama Mwenyekiti wa chama cha Mbogamboga na hao kina Mbowe walikuwa wanaenda kwa ishu za Kitaifa mboma Mawaziri wanafanya vikao huko na wote ni wa CCM na hakuna anayepga kelele lile zoezi ni la...
Privately-owned insurance companies, hotels, telecoms, media and transport firms are expected to be among those hardest hit in the new spending cuts that will specifically target a complete halt or drastic reduction of the flow of government funds to the private sector.
The Ministry of Finance...
Hawa jamaa wanaham Makamanda w2 wawatwange kisawasawa ili 2walipe tu hzo ni choko choko za taifa maskin na lenye uroho ma waendelee mana huyu Si Jakaya mana aliwaachilia had wenzetu walikuwa wanawapiga kule mpakan ss huyu Presidaa wa ss nadhan atawanyoosha haswaa.....
Hii taarifa inasikitisha sana Suala nyeti kama hili had Rais ana Dangote waongee wkt ni ishu ya wizara usika na Uongozi wa Dangote wamgeongea na kulimaza mda ss kila kitu Rais hii nchi inasikitisha sana kwakwel.
Freeman Aikael Mbowe alisoma elimu ya msingi katika shule ya Msingi Lambo na kufanikiwa kufaulu.Alifaulia kwenda shule ya Sekondari Kibaha mkoa wa Pwani.
Alipohitimu kidato cha nne Kibaha Sekondari, alifanikiwa kujiunga na kidato cha tano IHUNGO Sekondari Manispaa ya Bukoba. Baadaye...
Cha msingi ambacho mnatakiwa kukifanya ni kuangalia namna gan ya kupata Katiba mpya ili Uponzani uchukue dola without bloodshed mana hzo kauli zko znadhihilisha w2 watakufa tu,kwa maana CCM ndo wanasimamia Uchaguzi ss ww uliona wap m2 anajisimamia mwenyew kwnye mtihani hapa lazma afaulu,kma...
Iko poa ukisoma na ukaielewa ni thread amabyo inaweza kubadilisha mtazamo kwa wa2 wanaolalamika sana na wanao2miwa na wanasiasa kwa malengo yao binafsi big up Pof.
Hv hii TV bado ipo mana mm niliifuta mda tena wkt nimeomba kuifuta DSTV wakawa wagumu nkawaambia wanipe pesa yng wachkue Dish lao sina haja kuangalia TV ya Mbogamboga kila hbr za Kipropaganda tu............
On behalf of my self and people of JF napenda kukujuza kwamba gari linasonga na lina kasi wanaodhan gar ni bovu ni waharbifu waliokuwa wanaitekenyatekenya ili ipelekwe kwa Fundi wapige deal,kwa mfano zile gari za Shirika la Posta zimejazwa mafuta wakat hazitembei we unaonaje sio kama wapiga deal...
Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichoko mkoani Mtwara kimesitisha uzalishaji wa SARUJI kutokana na kuelemewa na gharama za uendeshaji. Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Harpeet Duggal anasema wanazungumza na serikali kuona namna ya kutatua changamoto hiyo.
TATIZO NI NINI?
1. Menejimenti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.