Kama ni mm hapo sina chaguo kabisaaa yote ni Luxury Car hayo. Hakuna gari ya kazi hapo. Subaru Engine yake ikizingua huwa hairudi Kama Zamani. Pia Spare Zake zipo Juu sanaaa. Na KIBONGO BONGO Hakuna Mafundi Wazuri wa Subaru.
Unetoa Rushwa sio?Tutakushughulikia..Maana Hata Interview hujafanya wewe..Kwa Lugha rahisi hujapimwa,Ukimwi,Kam Ni Rijalii,Au kama sio Ridhiki,Matege,Presha,Kisukali,Kuona Vizuri,Mishipa za Chini ya Paja n.k...we ngoja utaona...
Wakuu,nafuatilia kwa umakini hii bajeti ya mwaka wa fedha 2012/2013,ni bayeti ya kukomoa,kuanzia Mawasiliano,Pombe,Sigara,Magari,vimepanda....
Mbaya zaidi huyu Waziri wa fedha anasoma huku anacheka,ini hali akijua kuwa inaumiza wananchi...Lengo la Bajeti hii ni kuongeza Pato la Taifa na...
Broo,pole,usikurupuke kuagiza Mzigo wowote nje ya nchi kama hujui ni kwa jinsi gani utautoa.....Ila kwa msaada zaidi,wasiliana na Maagent ambao wanapatikana Mtaa wa Samora jijini Dsm...
Huyu Jamaa kipindi Cha Uongozi wa Mzee Ben,alikuwa kijana bonge la Handsome,baada ya kuingia ******,jamaa maisha yakawa Magu na kuanza kuishi kwa Taabu na mawazo ya kutafuta Ridhiki yakaanza kumtawala,mwisho wa siku akawa Ombaomba na kupinda Mgongo..Kweli ****** ni Noma,hana huruma na wananchi...
Pumbavu wewe,kama Mama yako angekuwa amelazwa,then madaktari wagome ungefurahii...Pimbi wewe,Serikari imekubali kukaa chini na kuongea nao,mwisho wa siku hawaji kutoa hoja zao,wanabaki kulia na Miti,hiyo ni akili au Ugolo...Usishabikie kitu cha Kipumbavu wewe..
Mheshiwa "david kafulila"kuvuliwa uanachama wa chama cha nccr mageuzi na kisha kulia hadi kutoa makamasi kwa zaidi ya dakika 40 kwa nia asamehewe kuvuliwa uanachama...kweli unga mtamu,sifa kwishinia.
Hao waliokufa kwani wamependa..Fikilia mara 2 kabla haujatoa Coments kijana.Hii ni dunia,hujafa...hujaumbika.Shauri yako bwana mdogo.Ndugu zetu wametangulia mbele za haki,wewe unafurahia sio.Mungu akubariki na kukulinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.