Mada nzur umeeleza magonjwa, sababu yake n nn na waepuke vip.
Mostly mambo haya ni usafi tuu
Andaa tena somo sababu za hayo magonjwa na jins ya kuepuka
Ukikosea kuchagua utalia na moyo. Eti hawaridhiki !km hamjaweza kuvumiliana mapungufu yenu mkajengana, au hamujajenga mahusiano yenu kaz kwako, labda km ulikaa nao 10 wote wakawa sawa bas research yako n kweli. Otherwise pole kwa mawazo yako
Huwezi jua siku hatar unless uwe una jua mzunguko wako
Km unajua je mzunguko wako n wa siku ngap
Km hujui kusanya data kwa miez 3 had 6
From there can help with it
Dear sister, usijaribu kupata kifafa cha ndoa wanaita, hiyo n mitihani katika ndoa ndo mana cheti kwanza mitihani baadae, tulia katika ndoa yako pigania ndoa yako usijitie hasira za kubeba na mibegi, mana hasira zingne tunajielewa .muhimu haswaa afya yako na kijacho, jua sasa stress , pressure n...
Naweza sema tumepitia njia moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatar sana nikushaur olewa , km uradhi na nafsi yako, mapenzi yana kautahira fulani ukikafuata utajuta baadae, mwenzio yu tayar na maisha yake na mwanamke anaemuita mke..jistir na wewe upate kustirika , mapenzi huwa yanahama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.