HI. WANATAFUTWA AGRONOMIST AU AGRIC-GENERALIST WENYE EXPERIENCE YA COFFEE FIELD MANAGEMENT. PLEASE KAMA UNA NDUGU,JAMAA,JIRANI, AU RAFIKI ASISITE KUFORWARD CV YAKE TO hrd@enrichafrica.org or admin@enrichafrica.org. Naomba kuwasilisha taarifa hii kwenu.
Mdau ebu jaribu pia kujifunza mambo ya kiserikali yanavyoenda maana ukitegemea hao uliowakuta hapo wanaweza kusubiri uchemke ili washingilie ushindi. Kwa kuanzia jaribu kupitia huu mwongozo lakini nashauri upate ule ulio updated zaidi:
GENERAL INSTRUCTIONS REGARDING
CORRESPONDENCE
C.1 Forms of...
C.9 Rubber Stamps:
Rubber stamps shall be used only on copies of letters. Original letters, Government Receipts, passes, licences shall be signed by authorized public servant. Nadhani kwa kuanzia unaweza kusoma public service standing order ambayo ni recent itakupa mwanga zaidi ya namna...
Huyu ni minor na hata akaunti zake inabidi atafutwe guardin vinginevyo hizi sheria tutakuwa tunakurupuka kila siku. Tehe tehe mambo haya ni Tanzania tu hutokea
Mtoto kama ikijulikana kuwa alikuwa anajua alichokuwa anakifanya wakati wa tukio sheria inamhukumu kama kawaida. Hapa napata wasiwasi kuwa mtoto Lulu kumbe alikuwa gereza la wakubwa kinyume cha sheria itabidi haraka sana aende kukaa gereza la watoto wenzake. Lakini ni kwa vipi pia mtoto...
Sheria ya kazi na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 27 inaweka wazi kuwa ni kosa kwa mwajiri kukiuka kifungu hicho. Hivyo unaweza kumshitaki kwa mujibu wa sheria. Ni vyema pia ukaweka wazi namna ya mambo yalivyo ili isije tukawa tunatoa hukumu ya upande mmoja tu. Nashukuru kwa hoja
Bado hawa jamaa hawajajipanga vizuri hata ule utaratibu wa kuondoka na matokeo ya written interview na kuwaahidi watu kuwa watapigiwa simu sidhani kama unazuia mianya ya kuweka mtu kwani hata matokeo hayaonyeshwi. Sijui hata shule tungekuwa tunafanya mitihani kisha tunaambiwa kuwa watakaofaulu...
Ni kweli kuna haja ya kupunguza watoto humu maana zamani watu walikuwa wanaongea mambo ya maana hata hoja kutoka mataifa mengine tulikuwa tunazipata hapa lakini kwa sasa watoto ni wengi na wanaongea mambo ambayo hayatujengi kama great thinkers
My friend you need to be very specific on what kind of documents you are talking about so that lawyers can pick the appropriate laws to give you a piece of advice. Being too generalised may lead to misinterpretation of the appropriate law.
I believe each original document reflects the possession...
Kiwanja hicho juu kinauzwa karibu na Shule ya msingi Olasitii. kiwanja kinafikika kwa barabara, kuna maji, umeme nk. Kina ukubwa wa 28×16. Bei inaanzia milioni 12. Kwa maelezo zaidi piga 0784588089.
Kama tunakumbuka vizuri Ditopile hakuwahi kuachiwa huru ila kilichofanyika ni kubadili kosa lake kutoka kuua hadi kuua(murder) bila kukusudia(manslaugher) kosa ambalo linaruhusu dhamana. Hadi kifo kinamfika alikuwa nje kwa dhamana na si kwamba aliachiwa huru kwani kesi yake ilikuwa inaendelea...
Kwa kuanzia tu ni lazima uwe unajua mpaka sasa umetumia kiasi gani nikimaanisha uwe na ushahidi wa gharama zote tangu ulipogongwa eneo la ajari hadi matibabu yake. Ukishaweka sawa vitu hivyo ni lazima ujue hiyo daladala bima yake ni ya kampuni gani ili uweze kwenda kudai fidia ya hasara...
Nadhani mleta mada hii si mtanzania na sijui anasemaje kama tulikuwa na naibu katibu mkuu wa UN mtanzania. Je kazi hakufanya? Vipi kwa wanasiasa wazalendo wanaotaka kutetea taifa na wanalishwa sumu na hao wanaotaka Tanzania iendelee kudharaurika? Kiukweli watanzania kinachowaponza ni utu wao wa...
Located in Arusha; Single user Toyota corolla 1999 in an excellent condition,Ideal for fuel economist Displacement 1300cc ,Air condition, Air-bags,AM/FM/TAPE/CD radio,Anti-locks Brakes, Electric windows,electric Mirrors. Insurance covered up to December 2012, Valid road licence, Mileage...
Naomba usaidie kuwasiliana na waandishi wengine ili kuelezea utapeli unaoendelea hapa mjini. Tayari watu watatu ninaowafahamu walitaka kutapeliwa kwa njia hii.
Jamaa anakupigia simu na kujifanya anakufahamu sana. Anakuuliza kama bado unaishi Dar. Ukikosea ukisema ndio, anakueleza yeye yuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.