sitosahau chuo mwaka wa kwanza pale Udom Informatics nliwahi kupata sifuri ya somo flan la madam agnesi linaitwa Computation Theory. daah nliwaza sana. yaani tangu darasa la kwanza hadi form six sijawahi kupata sifuri nakuja kuipata kwenye test chuo kikuu.. nliwaza sanaaaa. sitosahau ila...
Alikuwa anatoka papuchi tu. Halipi hela mkuu. Maana nilijipendekeza Mwenyewe kumwambia aje niwe namfundisha phzx na math. Yaan ndo malipo mpaka Leo hii kupewa K.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.