Wewe acha usenge Wewe.... Ukitukana mtu usifananishe na makabila ya watu Nyambafu ww.... Nani kakwambia wapare wana roho Mbaya.... Unakua kama mxiuuuuuuuuu.
Uzi mzuri Sana mkuu, pongezi zako,.
Mie Mwenywe nashangaaa Sana Nilifanyaga pepa za kushade xanaa na hua mchakato wake hauchukii mda coz wansahihisha kwa Mashine fasta lakin hao WCF Tokea mwezi March hadi leo... Nahix hawa wajamaaa washaanza vigusu za kuwekana kijinga....
Aisee kaka uzi wako nimeupendaaa Sana ila aisee kilimo kinahitaji uangalizi wa hali ya juu xana,
Mwaka Jana November niliamua kujibana ili nilime kitunguu, nililima ekari moja na nusu, maana ndo nilikua graduate, cha ajabu jamaa ambaye alikua anasimamia kile kimiradi kule kijijini kwa...
Hahahaha
Nilifanyaga interview yao post ya liason officer... Nilikutana na watu Kama utitiri Alafu hiyo pepa yenyewe ilibidi nigeukie wezangu niangalie kuwa wanaandika kuja kugundua Hakuna aliyekua anaandika kila mtu anamwangalia mwenzeie Alafu anacheka....
Nasema hivi naungana na mhe raisi acha waenda zao, msiteteeee vitu ambavyo havina msingi, hata Kama anategemewa na watu mia tano kama alifoji Cheti wacha aende, hivi Unategemea mtu hana taaluma yoyote Alafu anakuja anatoa matibabu kwa mgonjwa, hebu tuweni sirias acha waenda wakatafute maisha...
Nina mashaka na ulichokisomea, then huenda nyinyi ndo mlipataga chuo kupitia wazazi wenu kibashite bashite,. Huwezi Andika usenge huo wa kukejeli vyuo walivyosomea wenzako, Kama sivyo badi ww ulikua limbukeni Sana wa mambo,
Bwege ww na Mxiu.. Uuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.