Mara ya pili hii, jana nlikuwa nawahi sehemu wakanipa tiketi inasoma saa 8 mchana wakati muda huo ni saa 3 kasoro usiku. Nimefika mbele kidogo ile kuisoma na kukuta hivyo, wakati nairudisha eti ananipanga kwamba huwa wanatoa tiketi nyingi na zinazobaki hawezi kuzitupa![emoji23][emoji23][emoji23]...
Habarini wakuu!
Ndugu abiria mnaotumia mwendokasi kuwa makini, kuna baadhi ya wanaokatisha tiketi kwenye vituo siyo waaminifu, wanauza tiketi iliyokwisha tumika tayari na wengi wetu hatuangalii muda!
Wanachofanya baada ya kumpa pesa ni kujifanya kutoa tiketi na kuichana, kumbe ana tiketi yake...
Mpelekee fundi, hako ka'sensor unaweza pata kwenye simu mbovu mbadala wake ama akikosoma huziba na kitu anachoona kinafaa but haita function automatically
Samahanini wakuu, mimi ni msomaji mzuri tu wa nyuzi katika majukwaa tofauti tofauti.
Kinachonistaajabisha katika nyuzi hii, karibia visa vyote vinavyo hadithiwa hapa basi msimuliaji yeye ndiye anakuwa Man of Match.
Ombi langu ni kwa wale wanaopigwa Knock Out (KO), watuhadithie pia tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.