Great thinkers msipate shida kupata majibu, yeye ndiye aliwatuma nyoka wake kufanya hivyo, sasa oweje aanze kujikosoa/kujisema?
There were very notorios figures like *adolf hitler*, *benito mussolini*, *muammar ghaddafi * where are they now? The day is coming his name will change, and he will...
nadhani jamaa ameshindwa kazi, wananchi wapenda amani tulioneni hili bila kuangalia wewe ni wa chama gani, tusiendelee kufa kwa sababu ya siasa chafu za mtu mmoja kwa maslahi yake binafsi ya kutetea chama badala ya kulinda wananchi.
"arusha will remain forever but not the rc m.m, we need to see...
"Mungu awape faraja na amani wafiwa wote na waliojeruhiwa katika Milipuko hiyo ya mabomu Arusha". Kila jambo huwalinakuja kwa wakati wake na linaisha kwa wakati wake na hili litakwisha kwa wakati wake. Tuko katika kipindi ambacho napenda nikiite kipindi cha mabadiliko "REFORMATION PERIOD", wengi...
Binafsi sioni tatizo la mhe rais. kama unahoja juu vya vyombo vya ulinzi nadhani bora uielekeze huko maana kila mara yamekuwa yakitokea. wako wapi na wanafanya nini? na wale ndugu zetu wanaofanya kazi kwa kujificha ambao wengine wao wanakuwepo hata katika maeneo ya matukio ila hatusikii kaumia...
huji unapresent nini, kwani chuo ndio kinawapa mimba? Kupata mimba na kuzaa ni makosa? Ni sheria ipi inayowazuia kupata mimba na kuzaa wakiwa chuo kikuu? Au unadhani hiyo ni shule ya msingi au sekondari?
kama una masikio umesikia na kama una macho umesikia
huji unapresent nini, kwani chuo ndio kinawapa mimba? Kupata mimba na kuzaa ni makosa? Ni sheria ipi inayowazuia kupata mimba na kuzaa wakiwa chuo kikuu? Au unadhani hiyo ni shule ya msingi au sekondari?
Kama una masikio umesikia na kama una macho umesikia
Ccm kuvuruga maandamano ya vyama vya upinzani ndiyo kazi yenu na sasa kipaumbele chenu ni kuua kupitia hao ndugu zenu sijui mnawaita walinzi wa watu na mali zao.
Mbinu yenu hii ni chafu, wala msifikiri watanzania ni wajinga kiasi hicho ambacho nyie mnafikiria. Wananchi siku hizi tunajua...
Kama hauna si ukae kimya, mbona hapo hakuna kitu cha kushangazi. Au ulikosa kitu cha kuongelea??????????
Ushauri wangu, nenda mpaka na madaftari uliyotumia chekechea mpaka ulipoishia kielimu. Kuhusu kuzaliwa hapo sina ushauri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.