Ingetangazwa kuwa hii supu ya popo inatibu nguvu za kiume.Lingekuwa ni suala la miezi kadhaa tu duniani wangebaki Popo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
“Aliingiza mwenyewe akashindwa kuchomoa”
Mkuu napita tu,ila nakumbuka hizo verse na naukumbuka huo wimbo, ila sijui nani ameimba na pia sifahamu nyimbo inaitwaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah! Tabu Mbaga.
Ukiongelea Ruaha Sec.pande za Iringa miaka hiyo ya 2006 wanamjua vizuri sana.
Huyu demu alikuwa na rangi yake nyeusi nzuri kabisa tako dogo la wastani.
Mkwawa chini kule ndio kwao kabisa.
Ila huyu demu sishangai kabisa ameenza kuishi fake life toka ana miaka 9 ndio infact...
Daah! Huyu baharia ni azonto kiwango cha petrol.Hakuwezaje kujua kwamba yote hayo yangempeperusha njiwa!
Hizo harakati ilitakiwa afanyie chumbani bila kuuliza,kwa sababu it doesnt make sense mtu atoke Mwanza aje Dar es Salaam et kukuona tu,huko whatsapp hamjaonana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.