Habari wakuu,
Naombeni msaada wa kufahamishwa sehemu ambapo wanaweza kuondoa lamination katika cheti, nimehangaika sana na nahitajika lazima niondoe lamination ili cheti kiweze kuhakikiwa.
Ahsanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa ushaur wa haraka unahitajika kwa wataalam na wenye uwelewe ,na uzoefu.
Mdogo wangu kachaguliwa Udsm chemical ,na architecture ardhi,nataka kujua bora aconfirm IPI ,
Chemical engineering kazi zake kwa hapa Tanzania zipo ?? Unafanya kazi wapi ???
Nawasilisha
Wadau nimemuombea mdogo wangu chuo kikuu cha Bugando lakini nikawa sijakamilisha kitu kidigo sikumaliza, nikata kuendelea tena siku ya pili lakini cha kushangaza wiki ya pili hii system yao haifunguki.
Je halii hii n kwa mimi tu au wote ?? Naomben mnisaidie maana tarehe 30 inakaribia na bado...
Habari zenu wadau .....kuna kitu mwenzenu kinaniumiza kichwa sana katika kuomba vyuo Mara hii ndio maana nimeona nianzishe uzi huu tuweze kujadiliana..
Katika mchakato ambao Mara hii kila mwanafunzi ataomba chuo anachokitaka nadhani italeta challenges sana kwa wanafunzi wengi kukosa fani...
NI HESHIMA KUBWA kuwaarifu kwamba Mkutano Mkuu wa
Shirika la Umoja wa Mataifa la WIPO (World Intellectual
Property Organization) uliofanyika Geneva, Switzerland
October 3-11 umemteua Mhe. Othman Masoud Othman
kuwa Mjumbe wa Kamati ya Usimamizi ya WIPO
(INDEPENDENT OVERSIGHT COMMITTEE) akiwa...
Kwa mtu yyte mwenye taarfa yyte anisaidie nahitaj chumba maeneo ya magomeni mapipa...
Najiandaa kujiunga na chuo cha D I T hivyo nilihitaj huduma hiyo ya makaazi maeneo ya mapipa t...ahsanteni
Ambae yupo na taarfa yyte naomba ani PM tufanye biashara....
Ushauri kati ya mechanical na telecommunication ipi kozi ambayo inalipa zaid ktk soko la ajira ,na je ipi ambayo upatikanaji wa ajira yke haisumbui ,ahsanten .
Wadau habari zenu ,naombeni ushauri kwa wenye uwelewe wa course niliyoitaja hapo juu ,nina mdogo wangu kaomba course hiyo in udsm ,
Kwa wenye experiences ya kozi hiyo nakaribisha ushauri ,sana nilihitaj kufahamu kazi zake (career) na pia marketing yke,
Lkn pia kma nitapta utafauti wa course...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.