mtu anajaribu kuwasaidia mn m discourg tena? mm wa tanzania nimeshindwaga kuwaelewa kabisa hakunaga jema kwenu hata moja?
tuache siasa kwny kila kitu itatugharim sana atlist tumpe moyo mana akipita kwny miaka ijayo mwanao au mjukuu atakula mema ya nchi. ivi c ndo sisi watanzania tunao lalamika...
je kama watu wakubwa wanamiliki ndo wafanye upuuzi tu kwa kuwa ulikua unafanyika toka ckunyng?
mbona chi zao nyie hata mkiacha mke unakua deoorted? wa tz tuwe wazalendo sometimes msipende matumbo yenu tu. mtu anapofanya jambo jema mpe big up.
we umeiona iyo pisi yenyewe au una bonga tu. mi nishailga enzi izo ma school secondari kitu cha arusha meru inakatika balaa inatoa paka donati cku inanipiga chini nili lia kinyama nikali arifuu.
hapa cjaelewa file iki corrupt inaltaje short circuit? hapo afatilie tu mkanda wa display no isue ya bord kwanza ungemuuliza kama akitumia external monitor inafanya kazi
cku wakija kwny nyumba yenu something will smell blood fulish we, iv watanzania mna nn? watu kutajwa tu kisa majina ya kislam mnaanza wehu. ulitaka aweke la mkristu wakati hayupo kwny upelelezi wake? ivi tuna nn jamani[emoji35]
hakuna watu wapumbavu....wasiojua sheria na vilaza kama polisi wa tanzania...wao kila kitu ni kutumia mabavu tu kujishusha kwao hamnaga ata kwny vifu vya kipumbavu anakua mpumbavu zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.