Habari wakuu.
Poleni na hongereni kwa majukumu, sijawahi kutoka nje ya Tanzania ndio nataka nianze sasa kwa kuanza na Jiji la Nairobi, Sina ndugu, rafiki wala mtu ninayefahamiana nae Nairobi, ila nimekuwa na msukumo wa ndani ukinitaka nifike Nairobi ,Sina passport ya kusafia, nahitaji kujua...
Umesema kweli, mm binafsi nimejikuta nashauku ya kutaka kumckiliza tundu lisu tangu amerudi nchini,naamini wananchi wengi wa vyama vyote nchini wanashauku ya kumckiliza tundu lisu na upinzani kwa ujumla kwani wengi wao tulimisi siasa za upinzani haswa wakiwa majikwaani.
Kwa upande wa mh raisi...
Ww kinachokusumbua ni kulipiwa kodi umeshazoea kitonga,huyo Demu hata ukimwacha hataumia yy hata kidogo kwa sababu anamtu anaenpenda co ww...ila ww utaumia Sana kwa sababu utakosa wa kukulipia kodi huo ndo ukweli...acha kupenda kitonga boya ww... tafuta pesa ununue penzi
Sent using Jamii...
Hongera kwa kuongoza kwenye taaluma mkuu,vp kwenye upande wa uchumi wako binafsi hujaelezea unaongoza vijana wenye umri wa miaka uliyonayo kama darasani?au ndo umepata elimu lakini akili ya kitumia elimu yako kuongoza vijana wa rika lako kiuchumi hauna?ELIMU unayo tayari vp kuhusu AKILI mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.