Mbona kuna dini ambayo kila kukicha yenyew inajitetea tu iaminike kuwa niyakweli! On the other side dini nyingine zoote hazina mpango wakujitetea bali zinajipambanua tu kwa facts! Ukiona kitu kinatafta kwa nguvu sana kukubalika jua kunatatizo mahal!!!
Ndo mnavyodanganyikaga? Hivi kama ni upana wa elimu ya dini waisrael ndo wangekuwa wakuletetea hilo suala ! Wew upana wa dini zilizoanza kwa migogoro ya madaraka ndo ziwe na upana wa elimu? Hivi ungezaliwa na familia ya kikristu ungetetea dhehebu gani hapa? Je hao Wachina ambao hawataki...
Acha akil za ajabu muwe mnasoma kwanza ! Chanzo cha kutoka ziwa Victoria sicho kilichopo Ethiopia, kule kuna chanzo kingine. Hujui kama kuna blue Nile na White Nile na vyote vinakutana Sudan. Pia chanzo chenye maji mengi ni kile kinachotoka Ethiopia ndo maana Wamisri walipiga kelele sanaa
Hahahaaa!!!!! Wenye kampuni ni wajanja sanaa hata hizi odds huwa wanafanya juu chini wapate wao ! Ndo maana wao wanakuwa matajri ila sis tunakufa na sonona!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.