Mimi mkazi wa Makongo Juu, tulianza kupata huduma ya maji ya DAWASCO takriban miaka minne Sasa, huduma Kwa wateja was the best huko nyuma, mpaka Sasa huduma sio mbaya ila changamoto iliyopo Kwa wateja wapya, watu wameomba kuunganishiwa maji tangia mwezi wa saba mpaka Sasa tunaambiwa vifaa hamna...
Kupitia tukio la leo la mechi ya Yanga na Simba nimejifunza kitu,
HEBU TAZAMA;
1.Wasanii wa muziki wanalalamikia BASATA
2.Wasanii wa Filamu wanalamikia bodi ya filamu
3.Mpira wa miguu tatizo TFF iliyo chini ya BMT
Hizi taasisi zote zipo chini ya wizara ya habari,sanaa na...
Bar yetu ya triple 7 iliyoko mikocheni ina hadhi nzuri na tunaipenda napenda usifu uongozi kwa kutujali kwa maandhali mazuri, ila nimegundua wahudumu wao wanaweza isababishia bar hii kushuka thamani kwani huwa wanabambika Sana bill, chakula Cha 10,000 wanaongeza 3000 unaletewa bill ya 13,000...
Katokana na kinachoendelea kuwa Soud Brown aka SHILAWADU ku-record video ya kumuhoji mwana mama anaedai amezaa na Gwajima, huku Clouds wakidai kuwa Makonda alitumia nguvu katika kutekeleza tukio hili; Uongozi wa juu wa Clouds umeitisha mkutano wa dharura kwa staff wote hata kama uko likizo but...
Mokiwa anatughalimu sana Wana Anglican, mnatufanya tuchukie kanisa letu, hautakiwi na majority ya waumini kila Kona, jaribu kuwa na busara na umeweke Mungu mbele, kwani kuwa na kashfa TU ukiwa kama kiongozi WA Dini automatically haufai kuendelea kuwaongoza wanakondoo, Please please tuachie...
Huyo Mange Kimambi her days are numbered, huwezi kumdhalilisha mama wa watu ambaye hajakukosea kitu, yule ni kama mama yake, kama ana matatizo Na mwanae amalizane Na mwanae not mama wa watu but naamini soon Mange yatamkuta kwani hii serikali sio Ile na apart from serikali kuna watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.