Search results

  1. M

    EU Human Rights Report is 'Ridiculous', 'Rubbish' - Kagame

    Safi sana kidume anajiamini sana huyu
  2. M

    Nahitaji nyimbo za Saida Karoli albamu ya kwanza ya Marria Salome

    Nadhani anajaribu kukimbizana na soko la Digitali plus aliibiwa haki zake sasa nakua na msongo wa Mawazo. Naamini kama akiamua fufanya remix ya hizi za zamani kwa kuongeza beti za kiswahili flani hivi cha kuelezea anacho imba , inaweza kulipa angalau Pensheni ya kuzeekea
  3. M

    Nahitaji nyimbo za Saida Karoli albamu ya kwanza ya Marria Salome

    Mwenye Album Hiyo tafadhali naomba unipatie nyimbo za album hiyo Mimi ninazo 1. Maria Saloma 2. Kaisiki 3.Alimwatusile pekee. Naomba mwenyei nyimbo zingine za Abum hii anisaidie.
  4. M

    Nilichojifunza Nairobi-Kenya kwa siku 3

    NJIA YA HAJA KUBWA - hiyo ni sentesi sio neno moja. Huko SA mtakua mnageuza maneno kuwa sentensi, Kwani MKUNDU sio Kiswahili? Kujifanya unajua kumbe sifuri.
  5. M

    MWENYE WIMBO wa TWANGA PEPETA- Umbea hauna posho (Pilipili ya Shamba)

    Tafadhali Mwenye wimbo huu Video au Audio naomba Msaada wana Nzengo
  6. M

    ACT-Wazalendo yapewa siku 14 kujieleza kwanini isifutiwe usajili wa kudumu kwa kuvunja ‘Matakwa ya Sheria ya Vyama vya Siasa’

    Amani ya nchi huwa inaharibiwa na wajinga wachache. Hii nchi kuna mahali inaelekea na sio mbali tutafika tu.
  7. M

    MSAADA: JINA LA WIMBO HUU au JINA LA MSANII

    Heshima kwenu. Naomba anayejua jina ala wimbo huu wa zamani au jina la msanii. Natumaini wahenga wenzangu mtanisaidia.
  8. M

    Msiba Wa Ruge Vs Kanumba

    :D:D:D:D:D:D:D:D Clouds ndio wameyaanzisha na kumuita Ruge Baba wa Taifa wa Vijana
  9. M

    Msiba Wa Ruge Vs Kanumba

    Sote tumeshuhudia namna msiba wa Ruge na sarakasi zake unavyo endelea. Binafsi naiona nguvu ya Media katika shughuli za msiba huu. Kumekuwa na hamasa kubwa ya watu juu ya msiba huu, hii naamini ni kutkana na msiba huu kufanya habari ya taifa kwa takriban wiki moja mpaka sasa. Kila kukicha...
  10. M

    Immigration Officers wa Tanzania upande wa Nakonde border acheni njaa

    Iko hivi, Katika border ya Tunduma kwa Mtanzania mara chace sana kuombwa pesa na Afisa wa Tanzania, labda akikuona mgenimgeni wa mambo na una hali ya mashakamshaka. Binafsi iewahi kunitokea mara moja tu na nilimpa buku tano na tena aliomba nimuachie ya maji ya kunywa na kwakua alitoa ombi nami...
  11. M

    Wazo sahihi+Sehemu sahihi ila exposure ndogo dalili ya wazo kufa

    Nyie madogo ndio mnaharibu hili jukwaa. Zamani kulikiua na Mada za maana na watu wenye akili walikua wanaleta mada au kuchangia michango kwa akili kubwa. Sasa tangu mlipo leta u-fesibuku wenu humu hili jukwaa limepoteza mvuto. Tafadhali kama haujui kuandiaka omba msaada au unapo kosolewa basi...
  12. M

    Bifu zito kati ya Ajib na Yondani, washindwa kupeana mkono uwanjani....

    Watu wanachukulia poa hili Swala. Tatizo lilianzia wakati Zahera namnanga Yondani, Kwa namna ambavyo Zahera alivyo elezea swala lile ni kana kwamba yeye Kocha alikua tayari wamekwisha yamaliza na Ajib kuhusu kumpokonya Unahodha Yondani, ni kana kwamba ajib alichangia kumshawishi kocha au kumpa...
  13. M

    Yanga kuporomoka na kufa baada ya miaka 10

    Poleni sana Yanga na Hongereni sana Mnyama Simba. Naomba nitoe maoni yangu kama mtanzania huru na ingawa ninayo timu yangu baina ya Simba au Yanga . Hasa napenda kueleza juu ya mustakabali wa Yanga miaka kumi ijayo katika ulimwengu huu wa maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuna...
  14. M

    Ali Kiba bado hajakoma tu, aendeleza kiburi chake.

    Ndio maana kafulia, Jamaa anajifanya wa maana sana kumbe taka tu
  15. M

    Nijuzeni kuhusu "Jambazi" Kasusura

    Bwege sana, Madolari yote hayo alafu unajificha Hotelini Mbeya
  16. M

    Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    Niende haraka kwenye hoja 1. Watanzania wengi wanashangilia Lisu kuongea English bila hata kuelewa maana. 2. Lisu Anachuki binafsi juu ya Rais 3. Lisu yuko tayari kuona nchi ina angamia akidhani anae uniambie ni Rais pekee. 4.Wazungu wanajua mema yote ya. Rais JPM hata zaidi ya wa Tz 5.Lisu...
  17. M

    Mjue Josiane, Miss Rwanda anayetikisa nchi

    Huyu ni mshiriki wa ushindani la miss Rwanda 2019. Alianza kutikisa vichwa vya habari baada ya kuripotiwa kuwa binti pekee aliyejitokeza katika shindano hilo akiwa a imetokea kijijini na kutembelea kwa miguu imebaki wa kilomita kumi. Akiwa njiani kuja katika usaili alipata ajali ya kujikwaa...
Back
Top Bottom