Kuna nzi mmoja wa kijani mfia chama cha mboga,akili nzito,mburula eti naye ni member wa Tiss yaani mpaka leo najiuliza Sasa mm nikiomba kazi hii si ntakuwa boss wao?Mungu atusaidie watz turudi kwenye mstari.
Mwili mkubwa akili nukta(.) Mbona media zote zimeripoti vile,au ikiandikwa jamii forum ndio Sizonje atafura.Hawa watoto waliopatikana kwenye vyoo vya baa ni shida sana.
Hakuna yeyote aliyemjibu LISU kwa hoja ,kwahyo ccm wote mmeshindwa kabisa hata kujifungia ndani hata kwa cku 7 mje na hoja za maana mnakuja na stori uchwara tu.Mpendazoe mwenyewe ng'ombe aliyekatika mkia.Akili Ndogo nyie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku mnatuonea kwa kutaifisha mali zenu kisa tunadaiwa kodi halafu nyie hamlipi Deni?Ndio mkome mlipe tena hyo ndege ichukuliwe. Yaani huku kila kona tra na polisi halafu wewe hutaki kulipa deni. Mwosha huoshwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.