Hodii ndg zangu!
Kwa muda sasa nimekuwa natafakari juu ya hii mada lakini pia nilisubiria kama atatokea mbunge hata mmoja wa bunge letu tukufu angejaliwa kushukiwa na roho mtakatifu juu ya hili, lakini haijatokea.
Nimeamua kuwasilisha mwenyewe si kwa nia kukwamisha mapato ya nchi wala...
Nianze kwa kuishukuru serikali ya rais Magufuli kwa kuthubutu kukabili miradi ya maendeleo kwa kutegemea vyanzo vya ndani.
Lakini zaidi niishukuru sana serikali kwa mara ya kwanza kuvunja rekodi kwa kutenga zaidi ya 40% ya bajeti hiyo kwa kuielekeza katika miradi ya maendeleo.
Hii tu ni ishara...
Ni takriban cku 4au5 hivi tangu mmeripotisha hapa jamvin,kwamba kakamatwa m/kiti wenu wa BAVICHA na amepelekwa kusikojulikana.
Hivyo tulitegemea kuendele kupata update kwa kila hatua lakin cha ajabu mmekaa kimya.
Hata kama amepatikana,vyema pia mkatujuza wana jamvi ili kuondoa maswali mengi...
Mh. Rais, kwa maskitiko makubwa sana napenda kuwasilisha lalamiko la wananchi wa natta wilayani Serengeti.
Mh. Rais,wananchi wa natta tunayo kero kubwa ya kuporwa eneo ndani ya WMA ya Ikona na badala yake kuvamiwa eneo lingine lililopangiwa matumizi ya malisho tangu mwaka 2003 kwa vikao halali...
Ni mtt wa kiume wa darasa la pili anasoma medium school,hii ni mara yake ya 6 anashika nafasi ya kwanza tangu ameanza shule,na sijawahi hata mara moja kumtunuku zawadi tokana na kipato duni.
Leo nimeamua niwashirikishe wadau ili mnipe ushauri wa zawadi ndogo inayomfaa na ya gharama ndo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.