RAILA Odinga anatoka katika moja ya familia maarufu kisiasa nchini Kenya. Baba yake, marehemu Jaramogi Oginga Odinga, alikuwa mmojawapo wa watu muhimu katika uwanja wa siasa nchini Kenya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana 2017, na ndiye alikuwa mpinzani mkuu dhidi ya Rais Uhuru Kenyata ambaye...
Organisation kubwa kama UN wamefanya evaluation wakona Tanzania miongoni mwa Mataifa ya Africa inaamani kwanini unatakankuwaaminisha watazania kuwa hatuna amani?
Hivi umeshawahi kuona au kuskia nchi zenye machafuko?
Tuache siasa. Tanzania we are proud kwa amani na upendo tulionao. Haya...
Kupitia taarifa ya habari ya ITV muwakilishi wa Umoja wa Mataifa amempongeza Rais Magufuli kwa kuilinda amani ya Tanzania.
Muwakilishi huyo alikuwa anazungumza na walinda amani huko DRC, ameziasa nchi jirani kuiga namna Tanzania inavyolinda amani yake hasa pale wanapowasha mwenge kuaishiria...
Nimemekuwa nashangazwa pale ambako mkuu wa Wilaya au Mkoa kumpigia kampeni mgombea ubunge watu wana lalamika sana kuwa ni viongozi wa Umma na sheria yanmaadili yanviongozi wa umma inakataza. Vipi kuhusiana na Mawaziri wao sheria ya maadili ya viongozi wa Umma haiwahusu?
Miongoni mwa watumishi...
Tanzania ni nchi maskini na serikali ya awamu ya tano wana lengo la kwenda kwenye uchumi wa kati, ni jambo zuri ambapo kila mtanzania anapaswa kuunga mkono juhudi hizi za serikali.
Nimesikitishwa sana kwa nchi kukosa uwakilishi kwenye mkutano huu muhimu unafanyika Davos Uswiss, ambapo ni forum...
Ni jambo la kushangaza sana kama Nacte wanaweza kutoa namba zao simu kwaajili ya kuwasaidia wateja lakini hataki kupokea simu. Najiuliza nini tafsiri ya kutoa namba hizo?.
Inakulazimu unapopata tatizo mpakausafiri kwenda Dar ili tatizo Li solviwe. Inasikitisha sana kwa kweli kwa wanachokifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.