Duh!
Kazi ipo .......maskini sasa wanasiasa itabidi wajue fursa zinafungwa rasmi kwa awamu hii.
Sadiq naona anataka kurudisha biashara ya mabasi kwa pupa maana mabasi yake ayaonekani!!
Hongera Zitto Kabwe mwanamapinduzi saidia Tanzania ipate viongozi wazalendo na si wanasiasa wapenda kitu kidogo.
Habari Wanajamii Forums,
Katika kumbukumbu zangu Enzi za tawala ya JKN halmashauri zote zilikuwa na taratibu za kutoa huduma kwa jamii husika kama vile ukusanyaji wa taka na nyinginezo kwa kutumia kodi na makusanyo mengine kam ushuru na mazingira kwa ujumla yalikuwa yanaridhisha.
Hivi sasa...
Utoto na kamwe hakui...wengi wanaojiita maarufu Tz wana matatizo ya kujieleza na ili linatokana na elimu ndogo na kutokuwa na watu wa kuwaongoza vizuri p'se badilikeni ndio maana unakuta watu wanaacha kuangalia hata kazi zenu na kubobea na kazi za nje i.e western kwanza kazi nyingi ni full copy...
Poleni sana mliobakiwa wanawake zenu na wale woote mliobakwa naombeni mkapime dunia imebadilika jamaa inawezekana anamatatizo labda ya kiakili au kiafya ni bora mkapime mapema..jela ataenda kubakwa tu kwahiyo msijali malipizo humuhumu duniani:A S 103::A S 103::A S 103:by mbakaji
Mmh..mdau naona umejaa uzalendo uliopindukia najua matatizo yanaongezeka kila kukicha na siasa ndio inatupelel huko mtu anathubutu kusema eti mfano tatizo la umeme hata nchi za jirani wana mgao! Sadc yote ina tatizo! Hapo inaonyesha jinsi viongozi kwenye sekta nyeti wasivyotumia maarifa ya ziada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.