Mpenda Siasa
Member
- Feb 9, 2011
- 8
- 2
Habari Wanajamii Forums,
Katika kumbukumbu zangu Enzi za tawala ya JKN halmashauri zote zilikuwa na taratibu za kutoa huduma kwa jamii husika kama vile ukusanyaji wa taka na nyinginezo kwa kutumia kodi na makusanyo mengine kam ushuru na mazingira kwa ujumla yalikuwa yanaridhisha.
Hivi sasa utasikia viongozi na hasa wa hizo halmashauri wakipanga mikakati hewa kwa wananchi ambayo wanashindwa kuhisimamia ipasavyo kama suala la taka.
wananchi wengi wapo tayari wengine hata kuchangia gharama za uzoaji wa taka hizo lakini viongozi hao wa mitaa au kata ndio kwanza wanashindwa kutekeleza.
Na hili nalo linaitaji Presda au PM au Waziri wa mazingira ?
Nafikiri viongozi inabidi muwe Creative na hasa kwenye masuala yahusuyo field yako.
Sio kila kitu hadi viongozi wajuu waje wawapangie mipango kwenye maofisi yenu.
Katika kumbukumbu zangu Enzi za tawala ya JKN halmashauri zote zilikuwa na taratibu za kutoa huduma kwa jamii husika kama vile ukusanyaji wa taka na nyinginezo kwa kutumia kodi na makusanyo mengine kam ushuru na mazingira kwa ujumla yalikuwa yanaridhisha.
Hivi sasa utasikia viongozi na hasa wa hizo halmashauri wakipanga mikakati hewa kwa wananchi ambayo wanashindwa kuhisimamia ipasavyo kama suala la taka.
wananchi wengi wapo tayari wengine hata kuchangia gharama za uzoaji wa taka hizo lakini viongozi hao wa mitaa au kata ndio kwanza wanashindwa kutekeleza.
Na hili nalo linaitaji Presda au PM au Waziri wa mazingira ?
Nafikiri viongozi inabidi muwe Creative na hasa kwenye masuala yahusuyo field yako.
Sio kila kitu hadi viongozi wajuu waje wawapangie mipango kwenye maofisi yenu.