Habari wanajukwaa hili muhimu,
Leo nimekuja na hoja ya kutaka kujua juu ya Elimu inayopatikana kwa njia ya mtandao (on-line) hasa kutoka vyuo vya nje.
Je, unaweza kutambulika kama mhitimu?
Je, ukiileta kibongo bongo hiyo shahada ya nje TCU hawawezi kuleta zengwe?
Msaada kwa aliyepitia huu...
Msiichukulie poa pia kazi ya ualimu kuwa kama u "house girl". Umempeleka mtoto shule afundishwe kujua kusoma,kuandika na kuhesabu kwa shule za msingi na kwa sekondari kumudu stadi/masomo yote ya sekondari. Pamoja na hayo mtoto afundishwe nidhamu na maisha ya kijamii. Jikite/Fuatilia matokeo ya...
Kwa hatua tuliyofikia sometimes mashuleni/vyuoni tunapiga Mark time tu watu wakue waingie kwenye michakato ya maisha pasipo kuzingatia sana walichokisomea. Ukisubiria kupata post ya ulichosomea utajikuta umezeeka na bahasha mkononi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.