Habari za siku nyingi wana familia? Sina mengi ila naomba kuuliza kuhusu yule jamaa alikua anasaidia delivery ya bidhaa kutoka ktk online market zisizo safirisha bidhaa kwenda P.O Box. Mfano (amazon,e-bay na wengineo). Huyu jamaa bado yupo active humu ndani?.
Wadau naomba mawazo yenu ktk hili...
Je ni sahihi mpenzi wako kufuatilia kwa siri mawasiliano yako ya simu kupitia rafk yake mweny access hyo ktk ma kampuni ya mawasiliano...na je ukijua kafanya hvo uta chukua hatua gani??
Na kama je mpenzi wako ndio mweny hyo access na ukajua amekua...
Kwa wale wa university of dsm especially first year waliochaguliwa kujiunga CONAS katika department ya GEOLOGY.
HAPA MKUTANE MPATE KUPEANA UPDATES ZA MWANZO MWANZO.
Mnaoendelea na mwka wa pili na watatu mnaweza toa majibu au mawazo kama mkiona msaada wenu unahitajika.
KARIBUNI
Habarini wana JF yaani ninatatizo la mafua kilasiku pua kuziba au muda mwingine yanatoka makam*si...ila kila siku nipo na mafua...kuna dawa gani itasaidia...au sababu inaweza kua ni nini!? Kuna mtu anakitu kama hiki!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.