Inaskitisha sana hawa jamaa wanajiita wajeda makuruta kiukweli wanawadharirisha sana watu ktk zoezi bila kujali umri wanajiona mungu watu inakera sana but kumbukeni huku vijijini mtaumia watu wanalalamika sana kudharirishwa Bila sababu vijijin mtalogwa minguvu pelekeni makambin huko so bored...
1.Kwanza jitaidi sana usiwe mchoyo wa knowladge ulionayo kwa wenzio kuwa muwazi pengine unaweza ukawa una tango umekaa nalo..
2.Jitaidi sana kuwa mtu wa practical sana na kujipangia project mbalimali binafsi za kuzifanya bila kusimamiwa..
3.Epuka sana kujifanya unajua yote na umeshakamilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.