Kweli mkuu, wengine wazazi walijinyima hizo nyumba na magari ili tuende shule nzuri. Japo sijafanikiwa ila nadhani nipo indebted kwa wazazi wangu kama nitafanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hamna vacany za civil engineering hata za intern. Maana tokea nimemaliza sijapata hata mahali pakutafutia experience mimi graduate.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemaliza chuo mwaka huu pale Mbeya University of Science and Technology.
Bahati mbaya nilikuwa na Sup ambayo nilifaulu ila system ya chuo ilisumbua kwenye kuweka matokeo yangu.
Baada ya kufatilia wakaniwekea matokeo yangu Jumatano iliyopita. Shida inaanza Examination Officer ananiambia...
mkuu anayejenga anaimplement design, kama miundombinu ya drainage haikuwepo kwenye drainage system contractor anaweza kusuggest kama anaona kuna ulazima ila nadhani kosa hapo si la contractor bali aliyefanya design.
Nimeuliza hivi kwa sababu chuoni kuna fomu ambazo hao viongozi wa institute of engineering wanagawa na unalipia tsh 5000 kwa ajili ya cheti bila mafunzo wala bila kufanya kitu chochote. Nilipo jalibu kuwauuliza walisema eti inasaidia kuwa registered na bodi ya engineering kwa urahisi je kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.