Habari Waungwana!
Nina 10M nifanye biashara ipi kwa mji mdogo wa Katoro? Hiyo hela itahusisha gharama za pango + maandalizi yote ya frame.
Biashara itakayosimamiwa na mtu wa jinsi ya kike kwa asilimia kubwa.
Nawasilisha.
Napitia michango yenu.
Jamaa yangu ana kisauti kidogo. Hivi kuna namna ya kuongeza utoaji wa sauti? Base/Tone yake ndogo sana.
Wajuvi wa mambo mje!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kuipata Wilaya ya Kisesa Jimbo la Usagara Imefanyika kama ifuatavyo.
Wilaya ya Misungwi imetoa Kata 04 yaani
1. Kata ya Idetemya
2. Kata ya Usagara
3. Kata ya Fella
4. Kata ya Kanyerere.
Wilaya ya Magu imetoa yaani
1. Kata ya Kisesa
2. Kata ya Bujora
3. Kata ya Bukandwe
4. Kata ya Bujashi
5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.