:rain:Wavunja sheria wapo serikalini tena wamejaa kibao na kujificha katika mwevuli wa serikali yao, hii haikubaliki. waadabishane kwanza wao ndipo waje uraiani!
Sina uhakika/imani sana na calculation za GPA UDSM. Inawezekana ana 4.7 but hizo marks zake ukisipeleka chuo kingine ni 3.5...bu anyway kwa chuo chake hongera
Yaan mie hadi mnanichekesha badala ya kunisikitisha, ulimwenguni kote nani hamjui nyerere kwa sifa nzuri alizokuwa nazo? mnataka kusema huyu mndengereko mlomweka hapo kila leo kwenda kutalii nje ndo anaefaa? Mambo mnayoyaona leo ni kwa sababu ya mabadiliko ya kitechnolojia so hata nyerere...
Hili ni changa la macho...JK alikiri mbele ya kadamnasi kwamba hamjui mmiliki wa dowans...na siku zote walisema hawamtambui mmiliki, na huyo mwarabu aliyekuja anadai kuwa mchongo wa dowans alipewa na rafiki yake wa miaka mingi Mr. Rostam, na dowans aliinunua kutoka richmond ambayo ilidaiwa kuwa...
hiyo ndo inayowaponza kujiona wao ni cream then wanaishia GPA za mbili....... chuo kikuu hakuna cha kusema ulikwa cream wala mtindi wote mnaanza upya....
Huyo mama kiazi kweli.......muone sura kavu kaa ndimu...yangetokea ikulu yaha tungeona jinsi ambavyo wangehaha...kwasababu limetokea kwa mtanzania maskini..ni poa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.