Kama wanasema hawamjui baba na mama yao alikuwa anapata wapi huo ujauzito? Wanaume wanahusikaje hapa kama mwanamke unakosa akili ya kuifikiria kesho yako? Mtoto mkubwa ana miaka 17, miaka yote hiyo anamuonaga mama ake mjamzito tuu oasipokujua anautoa wapi mpaka anafikisha wadogo zake wote hao...
Msidhani makonda kakurupuka, anachokifanya hakijawahi kufanywa na mtu before japo viongozi tunao na wengine wamekuwa wabunge na viongozi wa serikali kwa muda mrefu. Ukiangalia kwa fikra ya haraka utaona kuwa makonda kakurupuka lakin hajakurupuka kabisa na hana lengo la kuwakamata bali lengo lake...
Ukiwa huna ndugu yako úwa ambaye anateseka na haya madawa ya kulevya lazima uone kuna uonevu kwa wanaotajwa kuhusika,ila cku yakimpata mwanao au mtu wako wa karibu ndio utaona umhim wa kuanzishwa kwa vita hii....
Ule mawe kwani hujalima,? Hukujua kutakuwa na njaa wakat kila siku mamlaka ya hali ya hewa wanatangaza toka september mwaka jana kuwa mwakaa huu mvua itakuwa ya shida? Tatizo taarifa mhimu hatuzitilii maanani badala ya tunakuwa serious na mambo mengine yasiyo ya msingi
Kwani chato kuna wasukuma tu hakuna makabila mengine? Kwann ulalamikie hilii wakati aliyeamua hajatoa sababu za yeye kujenga chato uwanja wa ndege? Mengine tunaumizana vichwa tu bure....
Acheni magufuli aendelee kutunyosha, hata mnaolilia ajira acheni ziendelee kukosekana kama kazi zenu ni kuwaza utajiri wa fulani ni wa namna fulani na si halali, miaka kumi inatosha kabisa kwa mtu mwenye malengo kuinvest na kuja na kitu kipya na kikubwa nchini na hata duniani.
Vijana hatuna...
Ivi mnaosema ukame wa mwaka huu ndio umeleta njaa ina maana mwaka jana watu hawakupata chakula? Na kama mvua ingewahi kunyesha toka mwez wa kumi na moja ina maana mahind,viaz au maharage vingekuwa vimeshaiva mwez huu wa kwanza? Chakula cha mwaka jana chote walichovuna kiliishia wapi kwa wakulima...
Mnaposema tanzania kuna njaa mfanye tafit pia mtambue kuwa kwann watu hao wana njaa? Katika kijiji kimoja utakuta ni baadhi ya watu wachache ndio wanalalamika wana njaa, na kuna wengine kwao njaa ni jadi yao mvua inyeshe isinyeshe wao njaa wanayo tu amini usiamini....kuna watu hawajui bajeti za...
Sera yake ni ya hapa kazi tu, anaposema hakuna njaa na hawez kutoa chakula huwez jua anadhumuni gani, yawezakuwa anaandaa watu kisaikolojia ili wajue hakuna msaada badala yake wapambane kwa namna wanavoweza ili wajipatie ridhiki.....lakin hayo matamko cdhan kama ataendelea kuyasimamia pale...
Kabisa, tunashindwa kujiamin sisi mpaka tukawaamin wazungu ndio tuamue hata katika mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu? Ina maana nia ni kufika ikulu pasipo kujali nani anatakiwa kutuwakilisha
Unadhan hao waliosoma CBG au CBA wakienda kusoma BVM hawakutani nayo? BVM pia anasoma radiograph na pharmacology pia kuna calculation nyingi mno na wanazimud na wanafaulu huku wakiwa mabingwa wa taaluma zao japo hawakusoma PCB
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.