Picha iliozagaa katika mtandao wa facebook, ikimwonyesha mtangazaji mashuhuli wa idhaa ya kiswahili ambae ni raia wa Tanzania; Salim Kikeke imezua mjadala mzito. Picha hiyo ambayo Kikeke aliipiga akiwa amesimama na mrembo ambae juzi alitwaa taji la miss dunia, imemsikitisha sana bwana Salim...
MBEYA MJINI:
Matokeo kamili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
1. CCM - 77.
2. Chadema - 72.
3. NCCR - 2.
Mitaa 77 + 28( CCM tulipita bila kupingwa) = 105.
Mitaa 2 uchaguzi utafanyika wiki ijayo.
Mitaa hiyo ipo Mwansekwa na Itiji.
Jiji la Mbeya lina jumla ya Mitaa 181.
Asanteni sana Wakazi wa...
Niseme tu wazi mimi nimesoma UDSM, Ila sifurahishwi na jinsi ambavyo wahitimu wa udom wanavyopewa upendeleo ktk soko ajira kwasasa kuliko vyuo vingine au upendeleo?
Hivi karibuni nilikuwa nchini Botswana na Korea, nilibahatika kukutana na vijana wa Kitanzia wanaofanya kwenye mashirika ya USAID...
"MTAZAMO WA KIJASUSI"
Bomu wamerusha chadema wenyewe kwa kuwatumia gaidi wao mmoja kati ya hawa
1. Ben saa nane huyu alisomea somalia namna ya kutumia mabom ya mikono
2.Deusi aman jr huyu alisomea kutumia risasi na kuvunja watu shingo LIBIYA So baada ya Beni saa nane kurusha bom huyu alimkava...
mdini namba moja hapo Udom DVC prof Shaban Mlacha ambaye inasemekana ameoa dada wa Kikwete! Mwingine ni dokta Kambuga ambaye ndio ameonekana kwenye ile Cd ya waislamu wa udom iliyopelekwa Bungeni na Mh 30
mbona mnarudia rudia sana post, post kama hii nimeiona tangu jana kule jukwaa la hoja mchanganyiko! jengeni utaratibu wa kupitia majukwaa kabla ya kukurupuka!
sio kweli Ngiloi hana ubia na Riz1, ngiloi ameanza ujasiriamali kwa muda mrefu sana pengine Riz akiwa bado yupo shule! Tusiwe na wivu wa kike kuona mtu hawezi kuendelea bila kuwezeshwa! Kesho mtasema Bilionea Laswai wa Moshi pia anawezeshwa na Riz 1
panone ni Bilionea ni zaidi ya mfanyabiashara, anamiliki petrol station zaidi ya 20 ndani na nje ya nchi!huwa analeta meli nzima ya mafuta mwenyewe. Kama amekufa kweli apumzike kwa amani
THINGS WOMEN SHOULD NEVER , EVER, DO
1. Do not shave off your eyebrows only to redraw them with a pencil… it makes no sense
2. Do not put on too much make up, you end up looking like you came out of the make-up factory.
3. Do not wear a vest or sleeveless top without shaving your armpits...
Makada wawili wa CHADEMA wamekamatwa na dola huko Mwanza, walikuwa kwenye gari la M4C.
Source: MAGAZETI YA LEO
TUKIJIKUMBUSHA HUKO NYUMA Diwani wa chadema aliwahi Kamatwa na SMG Tarime,Mwingine Akitorosha Cement isiyolipiwa Kodi,Kyela ujambazi,Jana Mwanza Dola Feki na Mengine Mengi,Vyama hivi...
Oh no! At first I could not understand whysomeone would call a grown man honey sugar or sweetie because it seemedweird. I could only say that to our babies. As time passed, I realized that she is actually a sweetheart, but it was too late for me to start using thosenames because she would...
Oh no! At first I could not understand whysomeone would call a grown man honey sugar or sweetie because it seemedweird. I could only say that to the babies. As time passed, I realized that she is actually a sweetheart, but it was too late for me to start using thosenames because she would...
mbona huku Moshi tulimchagua Ngasa kuwa diwani wa kata maarufu ilhali ni Msukuma, mbona pia tulimchagua Bebwa kuwa diwani wa kata ya soweto ilhali ni Mhaya? Tanzania hakuna ukabila bwana watu tunaangalia vigezo na sera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.