alichokifanya Ni kizuri!! naona west Africa sio sir wamestaarbika nch nying mshind halal ndo hutangazwa, kuanzia Ghana, nigeria, senegal, Gambia tofaut na maeneo mengine ya afrika mfano mzur Zanzibar..
aisee atakuwa anashukuru sana kutumbuliwa maana kutoka kuwa MKUU wa mkoa had ubunge sio sir kapanda cheo...nashukuru magufuli Kwa k unitumbua kwenye ukuu wa mkoa ( in kilango voice)
huwez fananisha ubunge na ubaloz kwa kweli.. ubunge una hadh kubwa kuliko ubaloz!! ndo maana ukifka wakat wa uchaguz mabaloz wengine hurud nchn kuomba kuteuliwa kuwa wabunge!! kule anaenda kukalia bench Kwa kweli.. pole yke Kwa kutolewa sadaka.
unaifahamu Gambia kijiografia ilivyo!! hizo nxhi zingne haziwez kwenda Gambia bila kupita Senegal...nadhan umeelewa maana yangu otherwise waseme majesh ya ecowas
Shule zingne zinafungua tar 16/1/2017, so stl wengne wapo likizo... na bado tupo msimu wa sikukuu Jana tar 12 si ilikuwa sikukuu ya mapinduz bado tar 5/02/2017 Ni ckuu ya kuzaliwa ccm...
Ndugu zangu wana JF,
Leo ningependa watu to share vile vitu, vituko vilivyowahi kutukuta kutokana na kutoijua sehemu unayokwenda iliyopelekea kupotea au kupata shida.
Binafsi niliwahi kupotea kwani nilikuwa natoka Moshi kwenda Arusha na nikaambiwa nishuke Arusha tech, katika kuuliza uliza...
acha kujishughulisha na mambo ya watu!! mtu wa miaka miaka hyo maradhi Ni kawaida SNA. hata akipelekwa hospi still atarud kuhudumiwa home!! yawexkana kabla ya kuja hapo alikuwa anatibiwa somewhere!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.