Habari wana jamii wenzangu naombeni msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kazi au kunipa connection ya kazi niko Moshi nimesoma Diploma ya social studies. Asanteni.
Habarini wana jf ninauza keki nipo Shinyanga kwa wanaohitaji, pia natengeneza keki kwaajili ya birthday, kipaimara, komunyio, na sherehe mbalimbali kwa bei nafuu kwa anayehitaji tuwasiliane PM.
habari zenu wanajamii naombeni mnisaidie nimesoma diploma ya social studies natafuta kazi kwenye NGO's hata yakujitolea nipate tu ya nauli nipo Tanga. Email: madata84@gmail.com
Habari zetu wana jf, ninaomba msaada kwa yoyote yule anayeweza kunisaidia nina rafiki yangu anatafuta kazi amemaliza Diploma ya Procurement and Logistics Management katika chuo cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) mwaka huu, yuko Arusha kwa sasa kwa yoyote anayeweza kumsaidia ani PM, yuko...
Habari zenu wana jf natumai muwazima, naomba mnisaidie nimemaliza Diploma ya social science natafuta NGO nijitolee kufanya kazi, kwasababu nimetafuta ajira bila mafanikio, kwa yoyote anayeweza kunisaidia awasiliane nami kwa email madata84@yahoo.com nawaomba sana mbarikiwe.
Naomba mnisaidie kazi nimemaliza Diploma ya social science na ndani ya kozi nimesoma masomo kama sociology, psychology, methods of social science research, field work and field report writting haya ni baadhi ya masomo katika kozi niliyosoma, naomba kwa yoyote atakayeguswa anisaidie hata kupitia...
Naomba mnisaidie wapendwa nimemaliza diploma ya social science ambopo ina masomo kama vile sociology, psychology, methods of social science research, field work and field report writting, haya ni baadhi kwa yoyote atakayeguswa anisaidie hata kwa ndugu jamaa anayemjua ataweza kunisaidia...
Naombeni mnisaidie wapendwa nimemaliza Diploma ya social science ndani yake kuna masomo kama sociology, psychology, methods of social science research, field work and field report writting haya ni baadhi tu, bado sijapata kazi kwa yoyote anayeweza kunisaidia plz naomba anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.