Zipo Mikocheni. Ukitoka moroko unapita myfair plaza, tanesko, Engen Petrol station, archade house, feza junior mara baada ya kumaliza feza utakuta barabara ya vumbi inaelekea kushoto kwako fuata hiyo mpaka mwisho utaona kibao. Hiyo barabara inaitwa KIKO AVENUE. Safari njema!!
aisee Lighondi, asante nime muelekeza mdogo wangu amefika kama ulivyo elekeza na anasema kapishana na watu kibao wametoka kuwasilisha balua zao, so far anasema wana zipokea balua na kuzi file hapo hapo,anyway kwa niaba ya dogo nasema asante mana nilikua sijui ofisi ziko wapi baada ya kusoma maelekezo yako nika mtumia sms anasema amefika as per maelekezo yako
pia bravo ZoomTanzania.com endeleeni kutujuza