Asante kwa ushauri ni Diploma ya Social Science, kuna tangazo la kazi nimelipata wanataka uandike na kiasi cha mshahara ni kwenye NGOSwali lako ni too general,
Niseme tu itategemea ni Diploma ya Taaluma gani na pia Mwajiri ni nani,unless kama ni mwajiri ni serikali vinginevyo hauwezi kupata jibu la usahihi katika hili.
Ushauri: Kuna watu unaowafahamu,waliokutangulia hapo chuo kwenye fani unayosoma na sasa wanafanya kazi, waulize hao.
Asante mwana jamii mwenzangu sijaariwa kabisa ndo ninaanza, kuna tangazo la kazi nimeliona humu jamvini na wanataka katika maombia yako uandike na kiasi cha mshahara nina diploma ya social science na nafasi ya kazi ni kwenye NGO.inategemea kazi unayofanya na taaluma uliyonayo na uzowefu katika hiyo kazi. sikuizi mshahara hauka fixed kwa kila mtu ni jinsi utakavyo juana malipo tuu kwenye interview
Asante kwa ushauri ni Diploma ya Social Science, kuna tangazo la kazi nimelipata wanataka uandike na kiasi cha mshahara ni kwenye NGO
Diploma ya taaluma gani?mishahara ya TANROAD kwa mtu mwenye diploma ni kiasi gani?
Hii Sina uhakika ila I guess inaweza kucheza kati ya laki 6 or 7.Vipi kwa ngazi ya Afya kama pharmaceutical technician, clinical officer? Hospital hizi za mikoa na wilaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Diploma hiyo,mwenye degree huanzia 1.5m, Engineering inalipa mkuu.
Asante mwana jamii mwenzangu sijaariwa kabisa ndo ninaanza, kuna tangazo la kazi nimeliona humu jamvini na wanataka katika maombia yako uandike na kiasi cha mshahara nina diploma ya social science na nafasi ya kazi ni kwenye NGO.