Habari zenu wana jf natumai muwazima, naomba mnisaidie nimemaliza Diploma ya social science natafuta NGO nijitolee kufanya kazi, kwasababu nimetafuta ajira bila mafanikio, kwa yoyote anayeweza kunisaidia awasiliane nami kwa email madata84@yahoo.com nawaomba sana mbarikiwe.