Wanawake huwa na bahati sana katika betting
Ila huwa naogopa sana kuona mwanamke anapenda kufanya mambo ya wanaume maana akija kuwa addicted huwa wanapitiliza zaidi ya wanaume,akikosa hela atajiuza hata kwa buku 5 ili abeti
Ni kwel aisee
Ngoja nitoe kastory kidogo namna ndugu yetu mmoja alivyokutana na shetani live
Alikuwa na biashara zake nzuri tu kwa siku hakosi faida ya laki 2 mpaka 3
Akaoa,baadae akawa na pepo la ngono mkewe alipojua akaanza kumkomoa jamaa kwanza nae alianza kugawa kipochi manyoya mpaka vitu...
Kila nikifikiria namna ambavyo binadamu anaumbwa kuanzia kutunga mimba mpaka kuzaliwa,wazaz wanakuwa hawalali usiku kumlea mpaka anakuwa mkubwa afu anakuja kufa kirahis hiv
Haraka ya mwanamke kutaka kummiliki mwanaume; Umeingia kwenye ndoa, haina hata miezi miwili ushaanza kuulizia kuhusu mali zake, kutaka kushirikishwa kwenye kila kitu chake na mbaya zaidi unataka asishirikishe ndugu zake, unawakasirikia na kutaka mawazo yako yasikilizwe yawe kama amri.
Mimi nimezaliwa April naamin mungu yupo lakin huwa siamin kujiangaisha unapotaka kuzungumza na mungu wako kama wanavyofanya wajinga wengine eti wanafunga kula,sijui kukesha wakiomba mara kupiga magoti mara kubinuka na mengine mengi ya kujitesa tesa kama hayo na ndo maana huwa siendi kanisani na...
Mimi nimezaliwa April naamin mungu yupo lakin huwa siamin kujiangaisha unapotaka kuzungumza na mungu wako kama wanavyofanya wajinga wengine eti wanafunga kula,sijui kukesha wakiomba mara kupiga magoti mara kubinuka na mengine mengi ya kujitesa tesa kama hayo na ndo maana huwa siendi kanisani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.