Ukiacha matangazo ya mpira,matangazo mbashara ya taarifa za habari,ama adhuhuri au alaasiri ni mbaya sana,picha mbaya sauti mbaya,hebu tafuteni ufumbuzi wa hili
Hayupo na hatakuwepo kwenye mechi baina ya singida foutain gate na yanga,kisa? malipo maana boss wa timu hayupo,yupo nje ya nchi.
---
Baada ya kuiongoza Singida Fountain Gate FC kwenye michezo miwili, Kocha Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ameondoka kwenye kikosi hicho ambacho maskani yake kwa sasa ni...
luambano wa clouds fm jana usiku,kwenye kipindi chao cha michezo,kasema simba shida zote zinaletwa na mo,hivyo wanachama wameambiwa waamka wamtake mo ama atoe hela au awaachie timu yao
awe mwanamke popote ulipo kaa ufurahi kuzaliwa mwanamke.wewe ni kiumbe muhimu sana kwa mwanaume,umbo lako,sura yako,sauti yako vyote ni alama ya urembo na umuhimu wako.jitunze,jilinde na jiweke tayari kukutana na mwanaume muoane na muanze kujenga familia
Msipumbazwe na watu wa kataa ndoa, wengi ni waongo sana,pia msiogope changamoto za maisha ya ndoa,hizo zipo tu.
Kwenu ambao hamjaoa au kuolewa, fanyeni juhudi muoane na mimi nipo kuwasaidia mkamilishe sakramenti muhimu ya ndoa.
Hili halina ubishi,jinsi walivyofungua tawi sauz,tena kwa ubunifu wa kwenda na crdb,na toka wamefika huko,wana shughuli za kila aina,rais wetu,hersi said kaongea na vyombo kadhaa vya habari.safi sana
wana ndoa, tendo la ndoa linataka utulivu na sio papara kwamba mkifika kitandani ni vuuuup,kuvuana nguo bila matayarisho na mnaanza kuingiliana,mnaharibu ndoa zenu. Hebu fanyeni hivi:
1. Matayarisho yaanze mapema,mnapokuwa ama kazini au kwenye biashara zenu, msalimiane na muambizane...
wanaume,popote mlipo,hakuna pisi kali kuliko mkeo,ndio maana ukamuoa.eti kwamba huko nje umetembeatembea na kukutana na pisi kali,huo ni umalaya tu,kwamba umemtamani tu.
Mkeo akizaa mtoto wa nje ya ndoa na akakiri kuwa ni kweli, huyo mtoto ni wa nje, usimfukuze.
Msamehe mke ila chunguza ni kwanini amezaa nje ya ndoa, ukishaijua sababu, basi ikabili hiyo sababu.
Kila dini ina maelekezo yake juu ya tendo la ndoa,miongoni mwa wanandoa, kila kabila lina utamaduni wake kuhusu tendo la ndoa.
Jambo la muhimu sana kwa wanandoa, ni kwamba wanafunga ndoa ili kupata watoto ili kuendeleza ukoo au kujaza dunia.
Hivyo tendo la ndoa lina umuhimu mkubwa sana kwenye...
Mengi hutokea kwenye ndoa, wala sina haja ya kuyataja hapa. Ukitoa uvumilivu, huruma ni muhimu sana kwa wana ndoa wote, mwanamke na mwanaume, kila mmoja awe na huruma na mwenzie.
Kwa njia hiyo mtaishi vizuri na mtazaa watoto na mtazeeka pamoja na mtakufa mkiwa pamoja.
Nauliza, ni kwanini makocha wa mpira wa miguu wa Kitanzania, hawaendi kufundisha nje ya nchi?
Makocha wa Wakenya na Warundi wanafundisha hapa kwetu, wa kwetu vipi?
Natarajia kwenda Dar kushiriki mkutano kwenye ukumbi wa JNICC, sasa naomba wadau mniambie maeneo hayo kuna hoteli zipi za bei isiyozidi 30,000 kwa siku.
Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.