Asante kaka, nimefanikiwa kumpata mtu kanirekebishia, in fact kanipa ushauri kama wako, sikulifahamu hili before ingawa kuna mlio strange wa fan. Nitaitumia hii kwa siku kadhaa kwani nimeamua kuagiza mpya aliexpress ambayo nitaipata mwezi huu.
Asante sana kwa ushauri I hope utamsaidia mtu...
Tatizo ni muda utakao tumika kuipata, hii ni PC ninayoitumia kwa shughuli zangu hivyo inakua ngumu kusubir karibu siku 28 kwa ajili ya fan tu. In the worst case nitafanya hivyo.
Asante kaka, ingawa lengo langu si kutafuta unafuu wa bei bali ni kupunguza usumbufu wa kutafuta kitu bila kujua nitakipata wapi maana jitihada zangu za mwanzo sijafanikiwa. Hivyo natamani sana kufapata duka ambalo naweza kuconfirm kabla ya kwenda kununua.
Nina laptop ya hp Envy x360, Fan yake ya GPU imekufa, nimejaribu kupiga simu kwenye maduka tofauti hapa Tanzania bila mafanikio. Nimejifunza kuwa maduka yote niliyopiga hayauzi spare za laptop kama yanavyojitangaza. Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeweza nipa mwongozo wapi nitapata. Ukinisaidia...
Nadhani kuna kuna issue kwenye hizi card,Nimejaribu kuwasiliana na wafanyakazi wa vodacom but it seems hata wao hawana knowledge ya kutosha kwenye product zao,kwa kifupi wameshindwa kutatua tatizo langu,hivyo nimeamua kuendelea kutumia prepaid card yangu kufanya miamala.
Wakuu kama kuna mtu amefanikiwa kuitumia huduma hii naomba msaada,Sehemu ya cardholder name tunaingiza jina gan? Nimejaribu kuingiza jina lilipo kwenye account ya mpesa but sijafanikiwa. Nahisi kuna specific predefine name kwa ajili ya card zote. Msaada tafadhali. Nimejaribu kuwacheck vodacom...
Tafadhali naomba kujua jinsia yako, mimi ni mwanaume rijali sina wenzangu humu
Mbona hii ilishawahi kujadiliwa humu na wala wenzako hawakuomba pesa
Tatizo lako ni nin yani sijaelewa? Nimimi kuuza chip ama? hio thread ulioisoma uliona imeandikwa wanakupa phsical chip ama virtual ? Mbona...
Lengo ni nini kutumia line ya Voda? Inamaana unataka nikupangie matumizi ya no utakayonunua? Kama unadhani huna matumizi nayo basi hili tangazo ni vema ukalipita tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.