JAMANI, naomba kwanza nitangulize maombi ya msamaha kwa kutohudhuria katika jukwaa kwa muda mrefu kidogo... safari za mbali na majukumu mengi... nilitingwa. nisameheni wakuu.
nomba pia niwasilishe tatizo langu lililonisibu na kukaribia kunitia wazimu. nimekuwa nikijaribu kujisajili katika...
Nikiwaangalia kwa makini wasoma habari wa wenzetu, nabaini tofauti kubwa mno na hawa wa kwetu hapa nyumbani. Inanisikitisha mno ndugu zangu, kuwa tofauti hii hutuweka sisi kama jamii kwa ujumla (ni wazi kuwa wao ndio wanaotuwakilisha sisi sote machoni mwa dunia nzima inayowatazama) katika hali...
wanajamii forum, i salute you!
mimi ni mgeni JF, nipokeeni plz! looking forward to this... :cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
but i just cant decide which topic to put up first!!! so, ngoja tu nijiintroduce, alafu ntarudi , hopefully with some nice interesting topic!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.