Kwa kuwa analala kwa mchizi, nadhani nayeye ni chizi ndo maana anafanya hivyo kichizi. Kama nawewe ni chizi muoe lakini kama wewe siyo chizi achana naye.
Wanamuheshimu Mungu wa Mbinguni wanasubiri hadi ndoa halali. Kama ni wahanga wa punyet nawaasa waache Mungu hapendi. Fikisha ujumbe huu kwa jirani yako mwenye tabia kama hii..
Kila amtamae mwana
Kila amtazamae mwanamke kwa jicho la kutamani amekwisha kuzini naye! Usimtamani mke wa jirani yako! Ndo maana Miafrika hatuendelei tunawaza wake za watu. Alichonacho huyu mama na mke wako anacho pia!
Acha mama wa watu achape kazi wenzio tumeshaanza viwanda! Nina charahani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.