Habari wakuu, naomba msaada
Kila nikijaribu kuingia kwenye account inaniandikia "access denied make sure you provide correct username and password" najaribu ku reset password lakini bado inagoma nifanye nini? na je hii changamoto iko kwangu tu au na wengine mmekutana nayo?
Kila nikijaribu kuingia kwenye account inaniandikia "access denied make sure you provide correct username and password" najaribu ku reset password lakini bado inagoma nifanye nini? na je hii changamoto iko kwangu tu au na wengine mmekutana nayo?
Nimerudishwa kwenye matumizi makubwa ya umeme, nimezidisha kununua umeme bila kujua maana nilikuwa nalipia kidogo kidogo, nifanyaje ili nirudi kwenye matumizi madogo naomba msaada tafadhari
Ni nzuri sana mi nimesoma hiyo degree na sasa nimeajiriwa kwenye NGO fulani, soma utimize ndoto zako usikatishwe tamaa ajira ni changamoto kwa fani zote
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Soma foundation course ya Open University miezi 6 baada ya hapo omba bachelor degree unayoitaka katika chuo chochote utimize ndoto zako
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.