Kifo ni adhabu iliyowekwa na Mungu,mitume na manabii wote walifariki,ila kuna kifo cha mpango wa Mungu na kuna kifo cha mpango wa shetani ambacho hutokea tukimuasi Mungu kama wa Israeli walivyo fanya. ..tusome Isaya 1:18-20
Sent using Jamii Forums mobile app
Dereva anajua kilichotokea na Mbowe kama kawa upo 4 steps ahead of CCM akahisi huyu akibaki wanaweza wakamuua au kumbambikia kesi,wamtese halafu aseme ni chadema wao ndo walitaka kumuua lissu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.