Nimepata mtihani wa kufiwa na Solid State Drive (SSD) ya laptop yangu yenye 256GB storage capacity.
Naomba msaada kwa mtu mwenye utaalamu wa kurecover files kwa namna yoyote ile an isaidie.
Nimejaribu kuitoa kwenye laptop na kuitumia kama external drive bila mafanikio.
Katika hali isiyo ya kawaida, majira haya ya saa tatu na nusu usiku huu kivuko cha magari na abiria cha MV Magogoni kimeshindwa kuanza safari kutoka upande wa Magogoni kwenda Kigamboni na kusababisha taharuki kubwa kwa abiria waliokua tayari wameshaingia kwa ajili ya kuanza safari.
Ikumbukwe...
Halitaisha mpaka watu watakapoacha madhambi na kurejea katika maamrisho ya muumba wao. Binadamu akijiepusha na kuipenda sana dunia (mali) na madhambi makubwa kama ushirikina na zinaa si rahisi kwa yeye kushika panga na kuua mtu.
Unapoambiwa zama za mwisho dont think of 10 - 20 years to come. Kwa sasa unaona jambo la uzinzi na wanawake kutembea uchi lilivyo? Bas jua ni bado sana itafika wakati uzinzi utakua unafanyika barabarani na wanawake watatembea uchi kabisa na hapo ndo hasira ya mungu itashuka
Historia inaonesha kuwa uwanja wa ndege wa kwanza wa jiji la Dar es Salaam uliojengwa wakati wa ukoloni ulikuwa pembezoni ya bahari kati ya eneo la Feri na ufuo karibu na Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph. Kituo cha abiria kilikuwa karibu na Jengo la wizara ya Ardhi ya sasa. Baadaye uwanja huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.