قَالَ بَصُرْتُ بِمَا لَمْ يَبْصُرُوا بِهِ فَقَبَضْتُ قَبْضَةً مِّنْ أَثَرِ الرَّسُولِ فَنَبَذْتُهَا وَكَذَٰلِكَ سَوَّلَتْ لِي نَفْسِي [Taa-Haa : 96]
(20:96) He replied, "I saw what the people did not see: so I took a handful of dust from the footprints of the Messenger, and sprinkled it (on...
Hiyo siyo dini maana hakuna dalili ya mapokezi ya maneno aliyo wasilisha haswa kwa kufata chain ya wajuzi wahayo mambo tangu zama hizo hadi sasa zaid anachanganya uzushi na baadhi ya maandiko kufanikisha fikira na mtizamo wake uliojengeka kwa falsafa tashi yenye natharia zisizo na rejea na...
Kitendo cha kuamini kuwa mwenyezi mungu yupo ni katika maarifa na ujuzi ulio rithi mpaka sasa... kabla ya uchambuzi .... Ni muhimu ukatoa dalili na ufafanuzi ni kwa namna gani hiyo elimu na ujuzi wa kutaambua kuwa mwenyez mungu yupo umekufikia ? And ikitokea uko mbali na haya basi utakuwa...
Hata weza kujibu daima dawamu labda awe MTU wa kutafuta elimu na maarifa ya dini... Lakin akibaki na reasoning za kale alizo rithi kwa watu wake ........
Wewe mbona unatanguliza asumption kuliko uhalisia mfano nimetumia t.sh 50 then nikauza t.sh 30 Yan nikapata hasara ya tsh 20. Km hasara ikiendelea kuwa constant all the time hakuna MTU atakaeeee kubali kuendelea na biashara hiyo zaid atatafuta mbinu either kubadili search a business or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.