Ukipatia unaishi kiboss no stress tumekua zaidi ya vile mwanzo kabla ya kuingia, kikubwa mwanaume ishi kwa akili kubwa tu, vaa nafasi ya uongozi na timiza majukumu yako na uvumilie maudhi madogo madogo hawa wenzetu ni kama watoto...
Jamaa yupo Kigamboni na hivyo usemavyo ni kweli na watu wengi wamewekeza pia anasema mradi ukiwekeza unakatia na bima kusudi kujikinga na hasara,wajumbe tusubiri walau walioanza watupe feedback...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna
1. income estimates for corporate 30% inayolipwa Mara nne kila baada ya miez mitatu
2. Kuna withholtax mfano rent 10, security 5% kutokana na kila malipo ya rent au huduma kama ulinzi
3. Kuna Payee(mwajiriwa) na (SDL 4.5%,kuna wcf 1% ya gross salary mwajiri) monthly
4.kuna Nssf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.