Mi nachojua mabweni ya kike Kuna matron wao. Kwa shule kubwa ka pandahil haingii akilini kukosa matron Hadi mwalim jimmy aingie kwenye bweni la kike. Kuna Jambo hapo halipo sawa.
Kwanza huyo ni mpuuzi sasa Kama anakupenda kweli kwanini afikirie kukuharibia endapohuta msamehe.
Wewe endelea tu na kazi zako achana na huyo mpuuzi na pia uache tabia ya kujitongozesha.
Mwanamume akikusotea kwa muda ndipo anakuthamini si vinginevyo.
We tofali 100 tu unalia wenzio tulikua tunabeba tofari 5000 tunapanga tanuru. Kiufupi babayenu alikua anawaanda muwe watu ambao sio tegemezi hapo kesho. So apigiwe salute zake za kutosha KUDOS DINGI
Atakuja kukula wewe na huyo mchumba wako. Acha kupenda vya bure na Kama huna hela ujue tu huyo demu wako ataliwa tu na huyo mbunge. Tafuta hela acha kudanga kwa kupitia mpenzi wako. Hivi unqjiskiaje kula hela alio toa mwanamume mwenzio.!?
Na saa hiz kila media inatangaza na kusisitiza kubeti isipo kua za kidin tu. Hii Hali sio nzuri hasa ukizingatia michezo hii inawavutia zaid kundi la vijana ambao ndo wanatakiwa kuwa wazalishqji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.