Binafsi ule wimbo nilikuwa hata siujui kabisa!baada ya ile crip ya madogo wa Singida ndio nikaanza kuufatilia!
Awashukuru wale vijana wamefanya promotion kubwa Sana richa ya kwamba uhai wao waliuweka rehani!
TUNDU LISSU NA GODBLESS LEMA ni sahihi kuzaliwa Tanzania ili walichelewa Sana kuzaliwa walitakiwa wazaliwe mwaka 1920 hadi 1935 Kiwe kizazi kimoja na mwalimu Nyerere ,kawawa,nk kizazi Cha wapiganaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.