Search results

  1. T

    Mfahamu Mwandishi aliyeuawa ndani ya Ubalozi wa Saudi Arabia Jijini Istanbul Uturuki, Jama Ahmad Khashoggi

    Adnani khashoggi aliwahi kuwa tajiri no one wa dunia miaka ya nyuma
  2. T

    Mzee Jacob Zuma ameongeza kifaa kingine ndani

    Hii ndioraha ya mtu kuwa mzima kiafya,km angekua mgonjwa asingetamani kufanya hivo.
  3. T

    Umewahi kuwa na mpenzi 'hopeless' ambaye zaidi ya 'sex' hakuna kinachowaunganisha?

    Aina hii ya wanawake huwa unawajua kw sura tu, mwendo,na wana rangi zao, wengi wanapatikana Africa kusini mwa jangwa la sahara.
  4. T

    All East African Citizens to enjoy equal rights as Kenyans in kenya, only need national ID card.

    Sasa ukubwa wa ardhi utakua unafaida gani km hauna matumizi sahihi yakimaendleo? Utabaki unajisifia mapori tu.
  5. T

    Ramani Za Nyumba

    Hunalolote ww ucdanganye watu
  6. T

    Oman wanazungumza Kiswahili pia?

    Ao mawaziri wote watatu ambao ndio viongozi wa msafara ni wazaliwa wa hapa uswahilini na jamaa zao wapo Wengi tu hapa hapa
  7. T

    Mayweather kupanda ulingoni kupambana pambano la mwisho dhidi ya GGG

    Bondia mzuri namuangalia kw mambo mengi yanayoleta burudani sio ushindi pekeake but huyu jamaa ukweli anacheza kishamba hana hata mbwembwe mchezoni uwezo wake kwenye foot step na kudensi haupendezi
  8. T

    Mayweather kupanda ulingoni kupambana pambano la mwisho dhidi ya GGG

    Ukweli mayweather ni mtu wa bahati na mjanjamjanja but hana upiganaji wa kuvutia na kiwango
  9. T

    Kumekucha angalieni television ya aljazira, CNN, FOX NEWS.. Hali ni tete US na N. Korea

    Kwa hali inavoendelea huenda ndani ya masaa 72 mvua yamakombora ya us ikaanguka nk
  10. T

    Sophia Simba: Nitabaki kuwa mkereketwa mwaminifu wa chama cha mapinduzi

    Hivi hawa waliofukuzwa chama na ccm waliitwa kuhojiwa nakupewa mda wakujitetea au katiba ya hiki chama inasema je?
  11. T

    Benjamin Netanyahu anatajwa ndio kiongozi mwenye akili zaidi duniani

    Nadhani kwa wa Africa hakuna anaefikia hata 12 nyie mtaishia kwenye ziro point 8 kuja chini
  12. T

    Pakistan yapiga marufuku Valentine Day

    Asili ya vazi la suit ni Egypt mkuu sio nchi za magharibi
  13. T

    Nyangumi 400 wakwama kwenye ufukwe wa bahari New Zealand

    Inasikitisha sana maskini,ila ni ajali haina kinga
  14. T

    Mjue mshauri wa Rais Magufuli anayedumaza uchumi

    Kasema hazisaidii katika developing countries
  15. T

    Hotuba ya Rais Obama yawaliza wengi

    Wacha liendezake uko
  16. T

    Watanzania tuache kujipendekeza na kuwatukuza wazungu

    Tatizo kubwa la wa afrika ni uongozi,na uongozi bora ni ule wenyekuckiliza mawazo tofauti,ila muafrika badala yakuipokea tofauti ya fikra km ni fursa adhim, yeye anaichukulia km nichangamoto kubwa kwake na yupo tayari kujihami nayo kw njia yoyote ikibidi hata kuuangusha.
  17. T

    Watanzania tuache kujipendekeza na kuwatukuza wazungu

    Nadhani huu ndio utakua uzi mbovu zaidi miongoni mwa nyuzi zilizoanzishwa na ztakozo kuja kw mwaka wa 2017" hivi ulifiria vzuri kabla hujaandika lakini?
  18. T

    Wazanzibari gogo limeshakatika kinachosubiriwa ni kuanguka tuu

    Pascal kwanza ungefuatilia na ukapata kujua huyo mwinyi mkuu alikua na asili gani nadhani ungejifunza jambo hapo' ila ucjidanganye na ukafikiria kua mwinyi mkuu ilikua ndio jina halisi la huyo Kiongozi unaemuongelea'bali alikua na jina lake' mwinyi mkuu ni cheo tu kinachoashiria ufalme kw...
  19. T

    Zanzibar wapeleka barua UN kuvunja Muungano

    Kosa kubwa walilolifanya baazi ya viongozi wa znz ni kukubali kuungana na waafrika' hawa watu wengi wao hawanaakili kabisa kuungana nao ni kujirudisha nyuma zaidi ya miaka mia.Hata ukisikiliza hoja za hao wanaojiita wasomi waafrika wanaotetea muungano bac utagundua hazina mashiko ni za hovyo...
  20. T

    Serikali ya Uturuki yazima mitandao yote ya kijamii baada ya ISIS kuwachoma moto askari wao

    Uislam unakataza kabisa mwanadam kuhukum kw kutumia moto tena ni makosa kufanya hivo"anehukumu kw moto ni m/mungu tu pekee
Back
Top Bottom