Bondia mzuri namuangalia kw mambo mengi yanayoleta burudani sio ushindi pekeake but huyu jamaa ukweli anacheza kishamba hana hata mbwembwe mchezoni uwezo wake kwenye foot step na kudensi haupendezi
Tatizo kubwa la wa afrika ni uongozi,na uongozi bora ni ule wenyekuckiliza mawazo tofauti,ila muafrika badala yakuipokea tofauti ya fikra km ni fursa adhim, yeye anaichukulia km nichangamoto kubwa kwake na yupo tayari kujihami nayo kw njia yoyote ikibidi hata kuuangusha.
Nadhani huu ndio utakua uzi mbovu zaidi miongoni mwa nyuzi zilizoanzishwa na ztakozo kuja kw mwaka wa 2017" hivi ulifiria vzuri kabla hujaandika lakini?
Pascal kwanza ungefuatilia na ukapata kujua huyo mwinyi mkuu alikua na asili gani nadhani ungejifunza jambo hapo' ila ucjidanganye na ukafikiria kua mwinyi mkuu ilikua ndio jina halisi la huyo Kiongozi unaemuongelea'bali alikua na jina lake' mwinyi mkuu ni cheo tu kinachoashiria ufalme kw...
Kosa kubwa walilolifanya baazi ya viongozi wa znz ni kukubali kuungana na waafrika' hawa watu wengi wao hawanaakili kabisa kuungana nao ni kujirudisha nyuma zaidi ya miaka mia.Hata ukisikiliza hoja za hao wanaojiita wasomi waafrika wanaotetea muungano bac utagundua hazina mashiko ni za hovyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.