Poleni sana, kwa sirikali hii ya 5 hela inatafuta za kulipa fadhila kwa waheshimiwa wateuliwa walio msaidia kwenye kampeni, walio kua majipu sasa wageuka keki (Waheshimiwa).
Polisi wakisikia kuna mgomo au mahali kuna dada poa mbona utawaona faster maeneo hayo, ila kwenye matimbwli kma hayo thubutu hao nani wakutokea, kma panya road tu waliwachachafya mie nimeshuhudia siku moja polisi ubungo baada ya kusikia sauti ya watu wakiita panya road naye aliamua kutimua mbio...
Basi wasomi waliopo kwenye taasisi hiyo nao ni jipu, siku hizi kila kitu ni taasisi. utafiti gani bomu kma huu.
Na mie nitaanzisha taasisi yangu kufanyia uchunguzi Hela za mafao yetu (PPF) walizozuia,
Mbunge anawakilisha wananchi wa Ulanga, hivo anaonyesha jinsi gani wananchi wa Ulanga walivo maana kwao ndo kilicho bora kwao. Duuuuuuuuh ngoja Trump amsikie.
Ndugu wana JF kuna uvumi unaoendelea kua baba J pamoja na wenzake kwa wale walio wachagua eti kwasasa wamezuia ajila mpya hivyo hapatakua na nafasi za kuajiliwa mtu mpaka watakapo jisikia kufanya hivyo.
Tafadhali mwenye taarifa kamili atujuze hapa.
*****************
KWA WALIO NA WATARAJIAO KUWA...
Hao akina nani wa TZ hii vichwa bomu sana, wakistaafu sasa ndo utawaonea huruma kitaa, akili yao sijui hua wanawaza nn. Wakiambiwa kuna wezi thubutu hawatokei ila wakiambia kuna maandamano sehem fulani siku fulani hua wanatamani siku hiyo ifike mapema wapewe posho za 20,000 ila hawaelewi watu...
Kwa wale vijana mnao omba kazi kwa kupitia mtandao wa www.zoomtanzania.com tafadhari kuweni makini na mtandao huo. Kumekua na majambazi wanaotumia kwa ajili ya kuwalubuni watu kupitia mtandao huo, zoomtanzania wanachokifanya kwenye matangazo ya kazi ni kwamba wanatoa anuani au link ya kazi...
Hahahahahaha. utazimaje simu fake wakati mtandao wenyewe wakuzimia simu ni feki, hata yule mtu wa kuzima naye ni feki na anamiliki simu kubwaaaaaa la kichina ambalo ni feki, mkewe na michepuko yake yote inatumia simu feki kwakubana matumizi, mama yake kule kijijini Sigimbi anatumia simu feki...
Hawa jamaa hawajielewi kabisa kwakweli, wengi wapiga pesa tu hakuna lolote, kusitishiwa posho na wameona kitaa pamenuka ndo wanaamua kuludi eti kwa maslahi mapana ya Taifa, wanafiki tu, na tumekwisha wafahamu vizuri tabia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.