katika watumishi wa Mungu wapenzi kwenye biblia hakuna ambae hakumchapa mwanamke aliyekuja kizembe.tena Daudi aliua mume ndo kazalisha mkewe.
onyesha vyeti hizi ngonjera hazisaidii.
ngojeni tumalize furaha ya ushindi wa TLS jumanne tumalize mahakamani then ndo tuje kwenye personal issue na huyo Dada atueleze kwa nini aliingilia Nyumba ya mama gwajima?
ukiwa huna hela na ukajifanya unazo kwetu tunakuona chizi na ukiwa huna Nyumba lakini ulakusanya korokoro zako chini ya mti na kupaita nyumbani kwako tunakuona kichaa tu. by the way kivyovyote life linasonga.
hiki chama hakina democrasia. yaani Mimi kuamua kumuunga mkono mgombea mmoja wa chama changu niitwe msaliti nakihujumu chama? kina Sofia wakienda mahakamani wanashinda na kurudishiwa uanachama wao. lowasa waliyempigania sio huyu wa chadema. ni haki kwao kumuunga mkono mgombea wa ccm.
mi nipo njiani hapa fire nashuka hapo sasa hivi. vuta nikuvute njoo hapo sokoni chini ya jeti la yadi ya mtei bus upige castle moja baridi. utanikuta nimevaa shati la mistari ya pink.
uliwahi kwenda Libya mwanzoni mwa miaka ya 90 mpaka mwishoni mwa 2000?
kama bado nakuambia wewe ni mchanga sana kwenye masuala ya watu na maendeleo.
stay turned .
wilson kabwe amelala.yule mama aliyeitwa kichaa mbele ya luninga sijui familia yake inamchukuliaje? watu wamefukuzwa kazi na kupoteza mafao yao. mi nashauri akishafika kiwango hicho atasamehewa.
nyingine kule kwenye mizani yenye sahani ya sido ndefu anaweka huko kipande cha nyama ambayo unakuwa huioni na haitoi Mimi huwaambia akishapima amimine na so kutoa kwa mikono.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.